Monday 19 October 2015
ZIFAHAMU MONITORS NA DISPLAYS 10 BORA KWA SASA
Saturday 17 October 2015
LEO KATIKA TEKNOLOJIA ZIFAHAMU APPS ZILIZOINGIA KATIKA APPSAFRICAN INNOVATION AWARDS 2015
1. Best disruptive innovation
MicroEnsure (UK), Esoko (Ghana), Talking Bookz (Nigeria), Picup – South Africa, Opera’s Sponsored Web Pass – Nigeria
2. Best mobile innovation
Mobu – (Kenya), Chura – (Kenya), bookly – (South Africa), Ninayo – (Tanzania), M-vendr – (UK), ShoOwer – Cameroon
3. Best non data mobile innovation
TTC Mobile – (Uganda and Tanzania), Unotify (Rwanda), Totohealth (Kenya), GeoPoll (US and Kenya), SaferMom (Nigeria)
4. Best African app
Cross Dakar City (Senegal), bookly – (South Africa), Truppr (Nigeria), mPaper (Tanzania) and Tuluntulu (South Africa)
5. Best fintech innovation
Mergims (Rwanda), LipaPlus (Kenya) , SimbaPay (UK) ,VCpay (South Africa) , Mastercard/ Standard Bank MasterPass app (South Africa) and Verifone Mobile Money (Kenya)
6. Best health innovation
MOBicure (Nigeria), GiftedMom (Cameroon), Telemedicine Africa (South Africa), emocha Mobile Health (USA) and The Medical Concierge Group (Uganda)
7. Best educational innovation
mPaper (Tanzania), Flippy Campus (Ghana/Nigeria), bookly – (South Africa), SYNA (Nigeria) , Xander Apps (South Africa) and Bambisa (South Africa)
8. Social impact award
codeX (South Africa), bookly – (South Africa), 1task1job (Cameroon), UjuziKilimo (Kenya), and Afrikstart (UK).
9. Best entertainment innovation
Bozza Mobile (South Africa), GAMSOLE – Nigeria, MyMusic (Nigeria), Guumzo (Tanzania) and Media24 HYD 3D (South Africa)
10. Women in tech award
Emefa Kpegba (OMobileFunding – Togo), Anike Lawal (Mamalette -Nigeria), Linet Kwamboka (DataScience – Kenya), Zimba Women (Uganda) and Kelechi Anyadiegwu (Zuvaa -USA/Nigeria)
Thursday 8 October 2015
MAMBO YA KUZINGATIA UCHAGUAPO STORAGE DEVICE KATIKA LAPTOP AU DESKTOP YAKO
Je unahitaji aina gani ya storage device kwa ajili ya pc yako katiya SSD SSHD au HDD. kuna mambo ambayo unatakiwa kuzingatia unapochagua aina ya hizo device kulingana na mahitaji husika hakikisha unazingatia yafuatayo.
CAPACITY
je hiyo storage device inauwezo kiasi gani wa kuhifadhi data zako HDD zina uwezo mkubwa wa kuhifadhi data zako kulingana zinapatikana katika ukubwa mbalimbali katika gharama ya chini .unapohitaji SSD yenye uwezo mkubwa mfano 1TB hizi ni ghali sana kuweza kuzinunua unawezapata kuanzia 120GB kwa bei kidogo ambayo ipo chini.
SPEED
SSD device zina speed kubwa ukilinganisha na HDD ambayo itasidia pc yako kuwaka haraka ukilinganisha na HDD huwa zinaifanya pc yako kuchukua kama dakika moja kuwaka ila unapokuwa na SSD huchukua sekunde 15 hata zingine sekunde 5 kulingana na ukubwa wa SSD hiyo.
PRICE
SSD hizi hupatikana kwa bei ya juu sana waweza pata zenye bei ya kawaida zenye uwezo kati ya 32_64GB kwa bei ya kawaida ila zenye uwezo mkubwa ni gharama sana ila HDD waweza zipata kwa bei ya kawaida kulingana na ukubwa unaohitaji.
BATERY LIFE
SSD kulingana na performance yake ni kubwa huwa zinapunguza uwepo wa charge kati laptop yako zaidi ya asilimia kumi ukifuatiwa na SSHD hii ni kutokana huwa ina fanya kazi kwa hali ya juu sana na kuhitaji power nyingi .
DURABILITY
SSD huwa zinauwezo wa kuhimili mikiki mingi kulingana na jinsi zilivyotengenezwa waweza idondosha lakini bado ikawa inapiga kazi vizuri tu.
FORM FACTOR
Ukilinganisha uundwaji wa hizi device SSD huwa katika umbo dogo ukilinganisha na zingine .
kwa maelezo zaidi juu ya SSD ,HDD ,na SSHD fuatilia blog hii....
CAPACITY
je hiyo storage device inauwezo kiasi gani wa kuhifadhi data zako HDD zina uwezo mkubwa wa kuhifadhi data zako kulingana zinapatikana katika ukubwa mbalimbali katika gharama ya chini .unapohitaji SSD yenye uwezo mkubwa mfano 1TB hizi ni ghali sana kuweza kuzinunua unawezapata kuanzia 120GB kwa bei kidogo ambayo ipo chini.
SPEED
SSD device zina speed kubwa ukilinganisha na HDD ambayo itasidia pc yako kuwaka haraka ukilinganisha na HDD huwa zinaifanya pc yako kuchukua kama dakika moja kuwaka ila unapokuwa na SSD huchukua sekunde 15 hata zingine sekunde 5 kulingana na ukubwa wa SSD hiyo.
PRICE
SSD hizi hupatikana kwa bei ya juu sana waweza pata zenye bei ya kawaida zenye uwezo kati ya 32_64GB kwa bei ya kawaida ila zenye uwezo mkubwa ni gharama sana ila HDD waweza zipata kwa bei ya kawaida kulingana na ukubwa unaohitaji.
BATERY LIFE
SSD kulingana na performance yake ni kubwa huwa zinapunguza uwepo wa charge kati laptop yako zaidi ya asilimia kumi ukifuatiwa na SSHD hii ni kutokana huwa ina fanya kazi kwa hali ya juu sana na kuhitaji power nyingi .
DURABILITY
SSD huwa zinauwezo wa kuhimili mikiki mingi kulingana na jinsi zilivyotengenezwa waweza idondosha lakini bado ikawa inapiga kazi vizuri tu.
FORM FACTOR
Ukilinganisha uundwaji wa hizi device SSD huwa katika umbo dogo ukilinganisha na zingine .
kwa maelezo zaidi juu ya SSD ,HDD ,na SSHD fuatilia blog hii....
Saturday 3 October 2015
iFAHAMU NEXUS 5X AND 6P
Google Nexus Smartphones | ||||
LG Nexus 5 | LG Nexus 5X | Motorola Nexus 6 | Huawei Nexus 6P | |
SoC | Snapdragon 800 | Snapdragon 808 | Snapdragon 805 | Snapdragon 810 |
GPU | Adreno 330 | Adreno 418 | Adreno 420 | Adreno 430 |
RAM | 2GB LPDDR3 | 3GB LPDDR3 | 3GB LPDDR4 | |
Display | 5.0-inch 1920 x1080 IPS LCD | 5.2-inch 1920 x 1080 IPS LCD | 5.96-inch 2560 x 1440 AMOLED | 5.7-inch 2560 x 1440 AMOLED |
Wireless | 1x1 802.11a/b/g/n/ac BT 4.2, NFC | 2x2 802.11a/b/g/n/ac BT 4.2, NFC | ||
Storage | 16/32GB | 32/64GB | 32/64/128GB | |
I/O | microUSB, 3.5mm audio | USB Type-C, 3.5mm audio | microUSB, 3.5mm audio | USB Type-C, 3.5mm audio |
Size / Mass | 137.84 x 69.17 x 8.59mm, 130g | 147.0 x 72.6 x 7.9 mm, 136 grams | 159.26 x 82.98 x 10.06mm, 184g | 159.3 x 77.8 x 7.3mm, 178 grams |
Battery | 2300 mAh (8.74Wh) | 2700mAh (10.26Wh) | 3220 mAh (12.236Wh) | 3450mAh (13.11Wh) |
Camera | Rear Facing 8MP, 1/3.2", (Sony IMX179), F/2.4 Front Facing 1.3MP |
Rear Facing 12.3MP with 1.55µm pixels, F/2.0 Front Facing 5MP, F/2.0, 1.4µm |
Rear Facing 13MP, 1/3.06" (Sony IMX214), F/2.0. Front Facing 2.1MP |
Rear Facing 12.3MP with 1.55µm pixels, F/2.0 Front Facing 8MP, F/2.0, 1.4µm |
SIM | MicroSIM | NanoSIM | ||
Launch Price | $349 (16GB) | $379 (16GB) | $649 (32GB) | $499 (32GB) |
IFAHAMU SAMSUNG GALAXY NOTE5 AND GALAXY S6 EDGE
Galaxy Note 4 |
Galaxy Note5 |
Galaxy S6 edge+ |
|
SoC | Qualcomm Snapdragon 805 4xKrait 450 @ 2.7 GHz |
Samsung LSI Exynos 7420 4xA57 @ 2.1GHz 4xA53 @ 1.5GHz |
|
GPU | Adreno 420 @ 600 MHz | Mali T760MP8 @ 772MHz | |
RAM | 3GB LPDDR3 | 4GB LPDDR4 | |
NAND | 32/64GB eMMC | 32/64/128GB UFS 2.0 | |
Display | 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED | 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED | 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED Dual edge display |
Network | 2G / 3G / 4G UE Category 6 LTE |
2G / 3G / 4G UE Category 6/9 LTE |
|
Dimensions | 153.5 x 78.6 x 8.3 mm 176 grams |
153.2 x 76.1 x 7.6 mm 171 grams |
154.4 x 75.8 x 6.9 mm 153 grams |
Camera | 16MP rear camera, 1.12 µm pixels, 1/2.6" CMOS size, F/2.2 OIS 5MP F/1.9 FFC |
16MP rear camera, 1.12µm pixels, 1/2.6" CMOS size F/1.9, OIS 5MP F/1.9 FFC |
|
Battery | 3220 mAh (12.397 Wh) Removable |
3000 mAh (11.55 Wh) Non-removable |
|
OS | Android 4.4 with TouchWiz (At launch) | Android 5.1 with TouchWiz (At launch) | |
Connectivity | 2x2 802.11a/b/g/n/ac + BT 4.1, USB2.0, GPS/GNSS, NFC | 2x2 802.11a/b/g/n/ac + BT 4.2, USB2.0, GPS/GNSS, NFC | |
SIM Size | MicroSIM | NanoSIM |
Friday 2 October 2015
JIFUNZE KUTENGENEZA ANIMATION(COMPUTER ANIMATION)
Computer animation hii art ihusishayo sanaa ya utengenezji wa moving image kwa kutumia computer na hii ni moja kati ya matawi ya graphics na animation.
Computer animation zipo katika mfumo wa 2D animation na 3D animation ambayo 2D animation huu ni mfumo wa zamani ukilinganisha na 3D animation kulingana na madiliko ya teknolojia ingawa 2D animation inachukua muda mchache kuweza kuhusisha image(rendering) na haitaji kifaa chako kuwa na gpu kubwa ukilinganisha na 3D animation.
Animation itumikapo kwenye films huwa tunaziita CGI (computer generated imaging) ili kuunda illusion image huwa inakuwa displayed katika computer screen then quickly replaced na image nyingine ambayo ipo katika mundelezo kulingana na image iliyopita.
kwa maelezo zaidi kuhusiana na 2d and 3d animation endelea kufuatilia blog hiii.........
Computer animation zipo katika mfumo wa 2D animation na 3D animation ambayo 2D animation huu ni mfumo wa zamani ukilinganisha na 3D animation kulingana na madiliko ya teknolojia ingawa 2D animation inachukua muda mchache kuweza kuhusisha image(rendering) na haitaji kifaa chako kuwa na gpu kubwa ukilinganisha na 3D animation.
Animation itumikapo kwenye films huwa tunaziita CGI (computer generated imaging) ili kuunda illusion image huwa inakuwa displayed katika computer screen then quickly replaced na image nyingine ambayo ipo katika mundelezo kulingana na image iliyopita.
kwa maelezo zaidi kuhusiana na 2d and 3d animation endelea kufuatilia blog hiii.........
Thursday 1 October 2015
IFAHAMU TECNO CAMON C8
Ni moja kati ya smartphone bora kutoka tecno mobile ambayo itafanya matumizi yako ya smartphone kuwa ya kifanisi zaidi na yenye uwezo wa camera ambayo itakyo kufanya kuwa mtu wa selfie kila mara zifamu specification zake
waweza ipata kwa laki tatu na ishirini tu.....
Tecno Camon C8
General Information |
||
2G Network | GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 | |
3G Network | HSDPA 2100 | |
4G Network | No | |
SIM | Dual mini SIM | |
Status | Available August 2015 | |
Body |
||
Dimensions | ||
Keyboard | Touchscreen | |
Colors | White, Black | |
Cover | Plastic | |
Display |
||
Type | IPS capacitive LCD touchscreen with 16,000,000 colors | |
Size | 5.5 inches, 720 x 1280 pixels, 267 pixels per inch | |
Memory And OS |
||
Card slot | MicroSD, up to 32GB | |
Internal | 16GB | |
OS | Android 5.0 Lollipop | |
Processors | 1.3GHz quad-core Cortex-A53 CPU, MediaTek MT6735 chipset, Mali-T760 GPU | |
RAM | 1GB | |
Audio |
||
Alert types | Vibration, MP3 ringtones | |
Loudspeaker | Yes | |
Audio port | 3.5mm jack | |
Connectivity |
||
2G | GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps | |
3G | Up to 42 mbps downlink; Up to 5.67 mbps uplink | |
4G | No | |
WIFI | Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi hotspot | |
Bluetooth | Version 4.0 | |
GPS | A-GPS | |
NFC | No | |
USB | MicroUSB v2.0 | |
Camera |
||
Primary | 13MP, up to 4128 x 3096-pixel-pictures, HDR, autofocus, panorama, Geo-tagging camera with LED flash | |
Video | 1080@30fps | |
Secondary | 5MP, up to 2592 x 1944-pixel pictures | |
Battery |
||
Capacity | 3000mAh Li-Ion battery | |
Stand-by | ||
Talk time | ||
Music play | ||
Other Features |
||
Sensors | Accelerometer, Proximity | |
Messaging | SMS, MMS, Email, Push Mail, IM | |
Browser | HTML | |
Java | No | |
Miscellaneous | - MP3/WAV/eAAC+/WMA player – FM Radio – MP4/H.264/H.263/WMV player – Image viewer and editor – Document viewer and editor – Preloaded applications – GTalk , WhatsApp, Facebook, YouTube, Google Talk, etc. |
waweza ipata kwa laki tatu na ishirini tu.....
JIFUNZE KETENNGENEZA ANIMATION (INTRODUCTION TO ANIMATION)
JE ANIMATION NI NINI?
Animation waweza sema ni picha ambazo ziko katika mfumo unaofatataka kisha zikifuatana kwa mpangilio.(moving picture) na basic ya animation ni motion picture ambayo yaweza kuwa katika aina mbalimbali.
Kuna aina mbalimbali za mifumo ya animation kama:
1.tradition animation
2.stop animation
3.computer animation.
Tradition animation
hii ni moja kati ya mifumo ya animation iliyokuwa ikitumika tangia zamani abayo iikua inahusisha uchoraji wa picha ambazo zipo katika hali mbalimbali kisha kuweza kutengeneza illusion movement ambayo ilikua inahusisha step mbalimbali. mfumo huu iliwawezesha kutengeneza filamu za animation
kama Pinocchio , Animal Farm, The Illusionist, The Secret of Kells
mfano wa tradition animation.....
stop motion
hii ni mfumo wa animation ambao unahusisha
physical object ambazo zina move kutokana na kuwa photography frame by frame kisha kuunganisha frame hizo kupata short animatio.waweza search youtube stop animation kuona jinsi zinavyo tengenezwa.
computer animation
hii tunasema ni mfumo wa kisasa wa utengenezaji animation ambao unahusha computer software ku manipulate object mbalimbali katika mfumo wa animation
.usikose makala inayofuata kuhusiana na computer animation.........
Animation waweza sema ni picha ambazo ziko katika mfumo unaofatataka kisha zikifuatana kwa mpangilio.(moving picture) na basic ya animation ni motion picture ambayo yaweza kuwa katika aina mbalimbali.
Kuna aina mbalimbali za mifumo ya animation kama:
1.tradition animation
2.stop animation
3.computer animation.
Tradition animation
hii ni moja kati ya mifumo ya animation iliyokuwa ikitumika tangia zamani abayo iikua inahusisha uchoraji wa picha ambazo zipo katika hali mbalimbali kisha kuweza kutengeneza illusion movement ambayo ilikua inahusisha step mbalimbali. mfumo huu iliwawezesha kutengeneza filamu za animation
kama Pinocchio , Animal Farm, The Illusionist, The Secret of Kells
mfano wa tradition animation.....
stop motion
hii ni mfumo wa animation ambao unahusisha
physical object ambazo zina move kutokana na kuwa photography frame by frame kisha kuunganisha frame hizo kupata short animatio.waweza search youtube stop animation kuona jinsi zinavyo tengenezwa.
computer animation
hii tunasema ni mfumo wa kisasa wa utengenezaji animation ambao unahusha computer software ku manipulate object mbalimbali katika mfumo wa animation
.usikose makala inayofuata kuhusiana na computer animation.........
LEO KATIKA TEKNOLOJIA SASA WAWEZA TUMIA VIDEO CLIP KAMA PROFILE YAKO KATIKA FACEBOOK
Mtandao wenye mamilioni ya wutumiaji kutoka sehemu mbalimbali imeboresha huduma zake kwa kukuwezesha wewe mtumiaji kuweza kuweka video yenye sekunde 7 kama profile picture napia waweza kuweka picha zenye mfumo wa gif kama profile pictur yako.
Ilikuweza badili profie picha yako kuwa video clip fuatilia blog hii..............
Ilikuweza badili profie picha yako kuwa video clip fuatilia blog hii..............
Wednesday 30 September 2015
JIFUNZE NAMNA YA KUFANYA MANUNUZI EBAY
Ebay ni sehemu ambayo wauzaji na wanunuaji wanakutana
Muuzaji anajiunga kwa kufungua Account ebay na kisha anatangaza kitu anachokiuza akiwa popote pale Duniani
Mnunuzi anajiunga kwa kufungua Account ebay popote alipo Duniani kisha anachagua bidhaa anayoitaka iliyotangazwa na Muuzaji(Seller) ana inunua online.
MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUTUMIA EBAY
1. Tafuta Debit card au Credit card
Debit card ni kadi inayokuwezesha kununua vitu kwenye mtandao kwa kutumia pesa iliyo kwenye akaunti yako ya benki. Na Credit card inakuwezesha kununua kwa kukopa kwenye benki unayotumia halafu wanakukata kidogokidgo kwenye mshahara wako au namna yoyote ambayo mtakubaliana na benki. Kadi hizi ni kama Tembo card visa na Tembo card master card za CRDB Bank;
benki zingine kama NBC, Stanbic Bank na BARCLAYS Bank pia zinatoa Kadi Za namna hiyo. Baada ya kupata kadi yako unatakiwa uende kwenye benki yako wakairuhusu kuweza kufanya manunuzi kwenye mtandao.
2. Jiunge na tovuti ya Paypal.
Paypal ni tovuti inayoongoza duniani kwa kusimia malipo ya kwenye mtandao. Kazi yake kubwa ni kutunza taarifa zako muhimu za benki ili wamachinga wa kwenye mtandao wasizizoee hovyo. Hivyo basi ukitumia paypal, unasajili na kuweka namba yako ya visa au master card.
Baada ya hapo unaweza kuweka pesa kwenye account ya paypal au ukaziacha kwenye akaunti yako ya benki. Unapofanya manunuzi Yule muuzaji anapewa pesa na Paypal sio wewe moja kwa moja ili kulinda taarifa zako za benki.
3. Nunua kwenye tovuti iliyo na mfumo wa kutuma taarifa zako kwa usalama.
Kwa ajili ya usalama kuna teknologia inaitwa SSL(Secure Socket Layer). SSL inafanya kazi ya kusafirisha taarifa zako katika hali ya mkanganyiko ili mtu yoyote mhalifu asiweze kuzielewa, zikifika zianaundwa tena ili muuzaji aweze kuzielewa.
Teknologia hii inatumika pia kutuma email, blackberry wakiwa ni vinara wa kutunia teknologia hii. Ili kujua kama tovuti inatumia hii teknologia utaona alama ya kufuli kwenye anuani ya tovuti husika ikishafunguka. Angalia kwenye sehemu ya kuandikia anuani, kushoto au kulia.
4. Nunua kwa muuzaji anayekubaliwa na weteja wengi.
Utajuaje kama muuzaji anakubalika sokoni na anauzoefu wa kuuza vitu kwenye mtandao? Rahisi! Kwa mfanounataka kununua saa Ebay au kitabu cha electrniki (PDF) kwenye Amazon, chini ya hiyo bidhaa iliyoichagua utaona maoni ya watu walionunua kabla yako.
Ni vizuri ukatumia muda wa kutosha kusoma maoni ya waru wengi kabla hujaendelea za zoezi la manunuzi. Njia nyingine ya kupata maoni ya watu ni kutumia tovuti kama Yelp, Google+, Yahoo directory au Yellow pages iwapo muuazaji atakuwa amejiunga nazo.
5. Chagua namna ya kutumiwa mzigo wako.
Unatakiwa kuchagua namna kutumiwa mzigo wako ambayo itakuwa rahisi kwako kuupata. Gharama za kutuma mzigo zitaoneshwa pale kwenye mtandao na muda wa kufika kwa kila gharama. Kwa Tanzania unaweza kutumia DHL, UPS au shirika lolote unaloliamini.
6. Hakikisha muuzaji anahudumia eneo ulilopo.
Baadi ya wauzaji huchagua nchi au miji wanayoweza kutuma mizigo na wengine huuza dunia nzima. Taarifa hizi huwekwa chini ya bidhaa unayotaka kununua , hii itakusaidia kuokoa muda kuondoa usumbufu usio wa lazima.
Pia waweza tumia njia hizo kwa mitandao mengine tofauti na ebay ila zingatia:
Unaponunua kitu kwenye mtandao kwanza kabisa hakikisha hiyo tovuti inafahamika, kama haifahamiki hakikisha kuwa imethibishwa na na mashirika yakuhalalisha biashara za kwenye mtandao kama BBB (Better Business Bureau), utaona nembo ya haya mashirika chini kwenye tovuti ya muuzaji.
kwa mungozo zaiidi na maswali bonyeza hapa
Muuzaji anajiunga kwa kufungua Account ebay na kisha anatangaza kitu anachokiuza akiwa popote pale Duniani
Mnunuzi anajiunga kwa kufungua Account ebay popote alipo Duniani kisha anachagua bidhaa anayoitaka iliyotangazwa na Muuzaji(Seller) ana inunua online.
MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUTUMIA EBAY
1. Tafuta Debit card au Credit card
Debit card ni kadi inayokuwezesha kununua vitu kwenye mtandao kwa kutumia pesa iliyo kwenye akaunti yako ya benki. Na Credit card inakuwezesha kununua kwa kukopa kwenye benki unayotumia halafu wanakukata kidogokidgo kwenye mshahara wako au namna yoyote ambayo mtakubaliana na benki. Kadi hizi ni kama Tembo card visa na Tembo card master card za CRDB Bank;
benki zingine kama NBC, Stanbic Bank na BARCLAYS Bank pia zinatoa Kadi Za namna hiyo. Baada ya kupata kadi yako unatakiwa uende kwenye benki yako wakairuhusu kuweza kufanya manunuzi kwenye mtandao.
2. Jiunge na tovuti ya Paypal.
Paypal ni tovuti inayoongoza duniani kwa kusimia malipo ya kwenye mtandao. Kazi yake kubwa ni kutunza taarifa zako muhimu za benki ili wamachinga wa kwenye mtandao wasizizoee hovyo. Hivyo basi ukitumia paypal, unasajili na kuweka namba yako ya visa au master card.
Baada ya hapo unaweza kuweka pesa kwenye account ya paypal au ukaziacha kwenye akaunti yako ya benki. Unapofanya manunuzi Yule muuzaji anapewa pesa na Paypal sio wewe moja kwa moja ili kulinda taarifa zako za benki.
3. Nunua kwenye tovuti iliyo na mfumo wa kutuma taarifa zako kwa usalama.
Kwa ajili ya usalama kuna teknologia inaitwa SSL(Secure Socket Layer). SSL inafanya kazi ya kusafirisha taarifa zako katika hali ya mkanganyiko ili mtu yoyote mhalifu asiweze kuzielewa, zikifika zianaundwa tena ili muuzaji aweze kuzielewa.
Teknologia hii inatumika pia kutuma email, blackberry wakiwa ni vinara wa kutunia teknologia hii. Ili kujua kama tovuti inatumia hii teknologia utaona alama ya kufuli kwenye anuani ya tovuti husika ikishafunguka. Angalia kwenye sehemu ya kuandikia anuani, kushoto au kulia.
4. Nunua kwa muuzaji anayekubaliwa na weteja wengi.
Utajuaje kama muuzaji anakubalika sokoni na anauzoefu wa kuuza vitu kwenye mtandao? Rahisi! Kwa mfanounataka kununua saa Ebay au kitabu cha electrniki (PDF) kwenye Amazon, chini ya hiyo bidhaa iliyoichagua utaona maoni ya watu walionunua kabla yako.
Ni vizuri ukatumia muda wa kutosha kusoma maoni ya waru wengi kabla hujaendelea za zoezi la manunuzi. Njia nyingine ya kupata maoni ya watu ni kutumia tovuti kama Yelp, Google+, Yahoo directory au Yellow pages iwapo muuazaji atakuwa amejiunga nazo.
5. Chagua namna ya kutumiwa mzigo wako.
Unatakiwa kuchagua namna kutumiwa mzigo wako ambayo itakuwa rahisi kwako kuupata. Gharama za kutuma mzigo zitaoneshwa pale kwenye mtandao na muda wa kufika kwa kila gharama. Kwa Tanzania unaweza kutumia DHL, UPS au shirika lolote unaloliamini.
6. Hakikisha muuzaji anahudumia eneo ulilopo.
Baadi ya wauzaji huchagua nchi au miji wanayoweza kutuma mizigo na wengine huuza dunia nzima. Taarifa hizi huwekwa chini ya bidhaa unayotaka kununua , hii itakusaidia kuokoa muda kuondoa usumbufu usio wa lazima.
Pia waweza tumia njia hizo kwa mitandao mengine tofauti na ebay ila zingatia:
Unaponunua kitu kwenye mtandao kwanza kabisa hakikisha hiyo tovuti inafahamika, kama haifahamiki hakikisha kuwa imethibishwa na na mashirika yakuhalalisha biashara za kwenye mtandao kama BBB (Better Business Bureau), utaona nembo ya haya mashirika chini kwenye tovuti ya muuzaji.
kwa mungozo zaiidi na maswali bonyeza hapa
ZIFAHAMU SEHEMU ZITAKAZO KUSAIDIA KUFANYA MANUNUZI MTANDAONI(ONLINESHOPING)
Kulingana na ukuwaji wa sayansi na teknolojia imerahisisha mambo mengi katika jamii zetu na kuweza kutuletea ufanisi wa hali ya juu katika shughuli zetu za kila siku. Sasa unaweza kununua, kuuza bidhaa mbalimbali kwa kutumia mtando kulingana na mahali ulipo.
Waweza fanya manunuzi haya kupitia mitandao mbalimbali ambayo inatoa huduma hii ya uuzaji na ununuaji wa bidhaa na huduma mbalimbali waweza sema ni soko huru la kimtandao. Inategemea wewe sasa unahitaji kutumia soko gani ili kuweza kupata huduma hii nitakupa muongozo wakuweza kufanya manunuzi katika soko la kimtandao la hapa nchini na kimataifa.
SOKO LAKIMTANDAO KWA NCHINI TANZANIA :Waweza tumia mitandao ifuatayo kuwapata
1.KAYMU .bonyeza hapa
2.JUMIA bonyeza hapa
KWA SOKO LA KIMATA : Waweza tumia mitandao ifuatayo,kuwapa
1.EBAY bonyeza hapa
2.ALIEXPRESS bonyeza hapa
Hizi ni baadhi ya site tu ambazo zenye usalama katika kutoa huduma bora kwa wateja
kwa muuongozo jinsi gani ya kuitumia miatandao hii kufanya manunuzi fuatilia blog hii....
Waweza fanya manunuzi haya kupitia mitandao mbalimbali ambayo inatoa huduma hii ya uuzaji na ununuaji wa bidhaa na huduma mbalimbali waweza sema ni soko huru la kimtandao. Inategemea wewe sasa unahitaji kutumia soko gani ili kuweza kupata huduma hii nitakupa muongozo wakuweza kufanya manunuzi katika soko la kimtandao la hapa nchini na kimataifa.
SOKO LAKIMTANDAO KWA NCHINI TANZANIA :Waweza tumia mitandao ifuatayo kuwapata
1.KAYMU .bonyeza hapa
2.JUMIA bonyeza hapa
KWA SOKO LA KIMATA : Waweza tumia mitandao ifuatayo,kuwapa
1.EBAY bonyeza hapa
2.ALIEXPRESS bonyeza hapa
Hizi ni baadhi ya site tu ambazo zenye usalama katika kutoa huduma bora kwa wateja
kwa muuongozo jinsi gani ya kuitumia miatandao hii kufanya manunuzi fuatilia blog hii....
Tuesday 29 September 2015
LEO KATIKA TEKNOLOJIA SMARTPHONE KUUZWA KAMA NYANYA NIGERIA
Barani afrika nchi ya Nigeria iinaongoza kwa kuwa na wauzaji wengi wa smartphone katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo hii ni kutokana na ongezeko wa bidhaa hizi nchini china ambako kumpelekea kupata soko kubwa la bidhaa zo barani afrika.
ZIFAHAMU SOFTWARE AMBAZO ZITAKUWEZESHA KU ROOT SMARTPHONE YAKO
ili kuweza kuroot inakubidi kupata kupata rooting software ambayo unaweza kuitumia kwa zoezi hili. Unaweza root kwa smartphone yako kwa kutumia hiyo software au ukaroot kwa pc waweza pakua rooting software kwa apk ili uweze root kwa simu yako
Hizi ndo software unazoweza kuzitumia ..............
.kingroot bonyeza hapa
.Root Genius bonyeza hapa
.Root Cheker bonyeza hapa
.Supersu bonyeza hapa
.Framaroot bonyeza hapa
kuna rooting software nyingi ila hizo ni baadhi ambazo zitakusaidia
kwa matokeo bora zaiidi kumbuka si kila root software itakuwa na uwezo wa kuroot kifaa chako
Hizi ndo software unazoweza kuzitumia ..............
.kingroot bonyeza hapa
.Root Genius bonyeza hapa
.Root Cheker bonyeza hapa
.Supersu bonyeza hapa
.Framaroot bonyeza hapa
kuna rooting software nyingi ila hizo ni baadhi ambazo zitakusaidia
kwa matokeo bora zaiidi kumbuka si kila root software itakuwa na uwezo wa kuroot kifaa chako
FAIDA UZIPATAZO UTAKAPO ROOT SMARTPHONE YAKO
Rooting ni kitendo cha kuiwezesha smartphone yako kuwa na mamlaka ya kubadili mifumo iliyowekwa na mzalishaji mfumo wa smartphone yako au tablet yako.
Faida utakazopata baada ya kuroot smartphone yako
.Itakuwezesha kuwa na mamlaka kamili ya kifaaa chako kwa kuweza kubadili mifumo mbali mbali.
.utaweza kuzuia matangazo yanayokuja kutokana na kuwepo kwa apps za bure
.itakuwezesha kuondoa pre_installed apps ambazo ulizikuta uliponunua smartphone yako
. itakupa ruhusa ya kuweza ku install baadhi ya apps zinazo hitaji simu yako kuwa rooted
. utapata uwezo wa ku install custom rom kwa kifaa chako
. pia ita itaiongezea usanifu zaiidi smartphone yako katika ufanyaji kazi na kuweza kouongeza utunzaji wa charge kw muda mrefu
endelea kufatilia zaidi blog hii kwa mafunzo ya smartphone rooting
Faida utakazopata baada ya kuroot smartphone yako
.Itakuwezesha kuwa na mamlaka kamili ya kifaaa chako kwa kuweza kubadili mifumo mbali mbali.
.utaweza kuzuia matangazo yanayokuja kutokana na kuwepo kwa apps za bure
.itakuwezesha kuondoa pre_installed apps ambazo ulizikuta uliponunua smartphone yako
. itakupa ruhusa ya kuweza ku install baadhi ya apps zinazo hitaji simu yako kuwa rooted
. utapata uwezo wa ku install custom rom kwa kifaa chako
. pia ita itaiongezea usanifu zaiidi smartphone yako katika ufanyaji kazi na kuweza kouongeza utunzaji wa charge kw muda mrefu
endelea kufatilia zaidi blog hii kwa mafunzo ya smartphone rooting
Monday 28 September 2015
LEO KATIKA TEKNOLOJIA_MTANDAO WA WIKIPEDIA WAZUIRIWA NCHINI URUSI
Wasambazaji wa internet nchini urusi walazimika kuzuia tovuti ya wikipedia nchini humo kutokana na tovuti hiyo kumchafua Roskomnadzor bonyez hapa
dzor kwa taarifa zaiidi
dzor kwa taarifa zaiidi
MUONGOZO WA KUNUNU SMARTPHONE YENYE PROCESSOR BORA
Processor au cpu hii brain ya kifaa chako ambayo inaiwezesha kifaa chako kuweza kufanya kazi kulingana na maelezo ya software husika. Kila simu ina processor ambayo inaiwezesha kufanya kazi kwa ufanisi na haraka zaidi kulingana na uwezo wa processor husika.Ili kutambua kiasi cha ufanyaji kazi kwa haraka processor hupimwa kwa Mhz au Ghz ambavyo 1ghz =1000mhz .procesor ikiwa kubwa ndo ufanisi wake katika simu unakuwa mzuri zaidi.
Core hii hupatikana katika main processor ambayo kazi yake kubwa ni kusoma na kutafsiri taarifa mbalimbali kuna aina mbalimbali za core kuna single_core dual_core pia kuna quad core ,hexa core,
octa core . octa core zina uwezo mkubwa waufanyaji kazi kuliko zingine.
Vifaa vingi kama smartphone ,tablets , and smart watches vimetengenezwa kwa ARM processor ambo wame ziweka kimakundi processor zao katika mpangilio
-cortex A5 ,A7 ,A9,A15 , A17, A53, A57 na A72
ambapo A72 inauwezo kuliko A series zingine. mfano proseccor ya 1.7ghz quad core A17 inazidiwa uwezo na 1ghz dual core A53.
Je utawezaje kufahamu aina ya processor iliyopo kwenye smartphone yako ?
Waweza kuangalia specification ya simu yako online mfano samsung galaxy s6 kwa kutafuta specification zake au uka pakua app itwayo CPU Z pia njia hizi mbili zitakusaidia kujua kama simu yako ni fake au original kwa kulinganisha specification ulizo ona kwenye app na za kwenye web
Core hii hupatikana katika main processor ambayo kazi yake kubwa ni kusoma na kutafsiri taarifa mbalimbali kuna aina mbalimbali za core kuna single_core dual_core pia kuna quad core ,hexa core,
octa core . octa core zina uwezo mkubwa waufanyaji kazi kuliko zingine.
Vifaa vingi kama smartphone ,tablets , and smart watches vimetengenezwa kwa ARM processor ambo wame ziweka kimakundi processor zao katika mpangilio
-cortex A5 ,A7 ,A9,A15 , A17, A53, A57 na A72
ambapo A72 inauwezo kuliko A series zingine. mfano proseccor ya 1.7ghz quad core A17 inazidiwa uwezo na 1ghz dual core A53.
Je utawezaje kufahamu aina ya processor iliyopo kwenye smartphone yako ?
Waweza kuangalia specification ya simu yako online mfano samsung galaxy s6 kwa kutafuta specification zake au uka pakua app itwayo CPU Z pia njia hizi mbili zitakusaidia kujua kama simu yako ni fake au original kwa kulinganisha specification ulizo ona kwenye app na za kwenye web
Muongozo utakao kusaidia kununua smartphone bora
Matumizi ya smartphone yamukua kwa kiasi kikubwa hapa nchini kutokana na uwepo wa smartphone kutoka makampuni mbalimbali . Ambavyo imepelekea kuwa na ushindani mkubwa katika uuzaji. wa smartphone kwa watu wengi
Je utawezaje kununua smartphone bora?
.kitu cha kwanza ni kujua matumizi yako makubwa utakayo kuwa ukitumia katika smartphone yako hii itakurahisishia kuweza kununua smartphone ambayo ina kidhi mahitaji yako.
.je unahitaji smartphone yenye uwezo mkubwa wa camera ,
.je unahitaji smartphone yenye uwezo wa kukaa na charge kwa muda mrefu,
.je unahitaji smartphone yenye processor kubwa yenye uwezo mkubwa
.je unahitaji smartphone yenye screen kubwa au yenye muonekano wa kuvutia
kwa kujiuliza hayo itakusidia kupata chaguo sahihi.Basi kaa karibu na blog hii kwa elimu zaiidI.
.kitu cha kwanza ni kujua matumizi yako makubwa utakayo kuwa ukitumia katika smartphone yako hii itakurahisishia kuweza kununua smartphone ambayo ina kidhi mahitaji yako.
.je unahitaji smartphone yenye uwezo mkubwa wa camera ,
.je unahitaji smartphone yenye uwezo wa kukaa na charge kwa muda mrefu,
.je unahitaji smartphone yenye processor kubwa yenye uwezo mkubwa
.je unahitaji smartphone yenye screen kubwa au yenye muonekano wa kuvutia
kwa kujiuliza hayo itakusidia kupata chaguo sahihi.Basi kaa karibu na blog hii kwa elimu zaiidI.