Monday 19 October 2015

ZIFAHAMU MONITORS NA DISPLAYS 10 BORA KWA SASA


LG UltraWide 34UC97

1. LG UltraWide 34UC97


Screen size: 34-inch | Aspect ratio: 21:9 | Resolution: 3440x1440 | Brightness: 300 cd/m2 | Response time: 5ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1M:1 (DFC) | Colour support: SRGB 99% | Weight: 19.8 pounds

Best monitor

2. Acer S277HK


Screen size: 27-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3840 x 2160 | Brightness: 300 cd/m2 | Response time: 4ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 100,000,000:1 | Colour support: SRGB 100% | Weight: 11.9 pounds

ViewSonic VP2772

3. Viewsonic VP2772


Screen size: 27-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 2560 x 1440 | Brightness: 350 cd/m2 | Response time: 12ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 100% | Weight: 18.8 pounds

Dell Ultrasharp UP2414Q

4. Dell UltraSharp UP2414Q


Screen size: 24-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3840 x 2160 | Brightness: 350 cd/m2 | Response time: 8ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 100%; Adobe RGB 99% | Weight: 10.58 pounds

LG 34UM95

5. LG 34UM95


Screen size: 34-inch | Aspect ratio: 21:9 | Resolution: 3440x1440 | Brightness: 320 cd/m2 | Response time: 5ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 99% | Weight: 17 pounds


BenQ BL2710PT

6. BenQ BL2710PT


Screen size: 27-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3440x1440 | Brightness: 350 cd/m2 | Response time: 12ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 99% | Weight: 23.8 pounds

Acer B276HUL

7. Acer B326HUL


Screen size: 32-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 2560 x 1440 | Brightness: 300 cd/m2 | Response time: 6ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 100,000,000:1 | Colour support: SRGB 100% | Weight: 15.35 pounds

Samsung UD590

8. Samsung UD590


Screen size: 28-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3840 x 2160 | Brightness: 370 cd/m2 | Response time: 1ms | Viewing angle: 170/160 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 100% | Weight: 12.43 pounds

Samsung UD970

9. Samsung UD970


Screen size: 31.5-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3840 x 2160 | Brightness: 280 cd/m2 | Response time: 8ms | Viewing angle: 178/178 | Contrast ratio: 1000:1 | Colour support: SRGB 100% | Weight: 30.14 pounds

Asus PB287

10. Asus PB287Q


Screen size: 28-inch | Aspect ratio: 16:9 | Resolution: 3840 x 2160 | Brightness: 300 cd/m2 | Response time: 1ms | Viewing angle: 170/160 | Contrast ratio: 100,000,000:1 | Colour support: SRGB 87% | Weight: 21.1 pounds
Share:

Saturday 17 October 2015

LEO KATIKA TEKNOLOJIA ZIFAHAMU APPS ZILIZOINGIA KATIKA APPSAFRICAN INNOVATION AWARDS 2015


1. Best disruptive innovation
MicroEnsure (UK),  Esoko (Ghana), Talking Bookz (Nigeria)Picup – South AfricaOpera’s Sponsored Web Pass – Nigeria
2. Best mobile innovation
Mobu – (Kenya), Chura – (Kenya), bookly – (South Africa), Ninayo – (Tanzania)M-vendr – (UK), ShoOwer – Cameroon
3. Best non data mobile innovation 
TTC Mobile – (Uganda and Tanzania), Unotify (Rwanda), Totohealth (Kenya), GeoPoll (US and Kenya)SaferMom (Nigeria)
4. Best African app
Cross Dakar City (Senegal)bookly – (South Africa), Truppr (Nigeria), mPaper (Tanzania) and Tuluntulu (South Africa)
5. Best fintech innovation
Mergims (Rwanda)LipaPlus (Kenya) , SimbaPay (UK) ,VCpay (South Africa) , Mastercard/ Standard Bank MasterPass app (South Africa) and  Verifone Mobile Money (Kenya)
6. Best health innovation
MOBicure (Nigeria)GiftedMom (Cameroon)Telemedicine Africa (South Africa)emocha Mobile Health (USA) and The Medical Concierge Group (Uganda)
7. Best educational innovation
mPaper (Tanzania)Flippy Campus (Ghana/Nigeria)bookly – (South Africa), SYNA (Nigeria) , Xander Apps (South Africa) and Bambisa (South Africa)
8. Social impact award
codeX (South Africa)bookly – (South Africa), 1task1job (Cameroon), UjuziKilimo (Kenya),  and Afrikstart (UK).
9. Best entertainment innovation
Bozza Mobile (South Africa)GAMSOLE – NigeriaMyMusic (Nigeria)Guumzo (Tanzania) and Media24 HYD 3D (South Africa)
10. Women in tech award  
Emefa Kpegba (OMobileFunding – Togo), Anike Lawal (Mamalette -Nigeria)Linet Kwamboka (DataScience – Kenya)Zimba Women (Uganda) and Kelechi Anyadiegwu (Zuvaa -USA/Nigeria)
Share:

Thursday 8 October 2015

MAMBO YA KUZINGATIA UCHAGUAPO STORAGE DEVICE KATIKA LAPTOP AU DESKTOP YAKO

Je unahitaji aina gani ya storage device kwa ajili ya pc yako katiya SSD SSHD au HDD. kuna mambo ambayo unatakiwa kuzingatia  unapochagua aina ya hizo device  kulingana na mahitaji husika hakikisha unazingatia yafuatayo.



CAPACITY
je hiyo storage device inauwezo kiasi gani wa kuhifadhi data zako HDD zina uwezo mkubwa wa kuhifadhi data zako kulingana zinapatikana katika ukubwa  mbalimbali katika gharama ya chini .unapohitaji SSD yenye uwezo mkubwa mfano 1TB hizi ni ghali sana kuweza kuzinunua unawezapata kuanzia 120GB kwa bei kidogo ambayo ipo chini.

SPEED
SSD device zina speed kubwa ukilinganisha na HDD ambayo itasidia pc yako kuwaka haraka ukilinganisha na HDD huwa zinaifanya pc yako kuchukua kama dakika moja kuwaka ila unapokuwa na SSD huchukua sekunde 15 hata zingine sekunde 5 kulingana na ukubwa wa SSD hiyo.

PRICE
SSD hizi hupatikana kwa bei ya juu sana waweza pata zenye bei ya kawaida zenye uwezo kati ya 32_64GB kwa bei ya kawaida ila zenye uwezo mkubwa ni gharama sana ila HDD waweza zipata kwa bei ya kawaida kulingana na ukubwa unaohitaji.


BATERY LIFE
SSD kulingana na performance yake ni kubwa huwa zinapunguza uwepo wa charge kati laptop yako zaidi ya asilimia kumi ukifuatiwa na SSHD hii ni kutokana huwa ina fanya kazi kwa hali ya juu sana na kuhitaji power nyingi .

DURABILITY
SSD huwa zinauwezo wa kuhimili mikiki mingi kulingana na jinsi zilivyotengenezwa  waweza idondosha lakini bado ikawa inapiga kazi vizuri tu.

FORM FACTOR
Ukilinganisha uundwaji wa hizi device SSD huwa katika umbo dogo ukilinganisha na zingine .


kwa maelezo zaidi juu ya SSD ,HDD ,na SSHD fuatilia blog hii....



Share:

Saturday 3 October 2015

iFAHAMU NEXUS 5X AND 6P


Google Nexus Smartphones
LG Nexus 5 LG Nexus 5X Motorola Nexus 6 Huawei Nexus 6P
SoC Snapdragon 800 Snapdragon 808 Snapdragon 805 Snapdragon 810
GPU Adreno 330 Adreno 418 Adreno 420 Adreno 430
RAM 2GB LPDDR3 3GB LPDDR3 3GB LPDDR4
Display 5.0-inch 1920 x1080 IPS LCD 5.2-inch 1920 x 1080 IPS LCD 5.96-inch 2560 x 1440 AMOLED 5.7-inch 2560 x 1440 AMOLED
Wireless 1x1 802.11a/b/g/n/ac BT 4.2, NFC 2x2 802.11a/b/g/n/ac BT 4.2, NFC
Storage 16/32GB 32/64GB 32/64/128GB
I/O microUSB, 3.5mm audio USB Type-C, 3.5mm audio microUSB, 3.5mm audio USB Type-C, 3.5mm audio
Size / Mass 137.84 x 69.17 x 8.59mm, 130g 147.0 x 72.6 x 7.9 mm, 136 grams 159.26 x 82.98 x 10.06mm, 184g 159.3 x 77.8 x 7.3mm, 178 grams
Battery 2300 mAh (8.74Wh) 2700mAh (10.26Wh) 3220 mAh (12.236Wh) 3450mAh (13.11Wh)
Camera Rear Facing 8MP, 1/3.2", (Sony IMX179), F/2.4

Front Facing
1.3MP
Rear Facing
12.3MP with 1.55µm pixels, F/2.0

Front Facing
5MP, F/2.0, 1.4µm
Rear Facing 13MP, 1/3.06" (Sony IMX214), F/2.0.

Front Facing
2.1MP
Rear Facing
12.3MP with 1.55µm pixels, F/2.0

Front Facing
8MP, F/2.0, 1.4µm
SIM MicroSIM NanoSIM
Launch Price $349 (16GB) $379 (16GB) $649 (32GB) $499 (32GB)
Share:

IFAHAMU SAMSUNG GALAXY NOTE5 AND GALAXY S6 EDGE



Galaxy Note 4

Galaxy Note5

Galaxy S6 edge+

SoC Qualcomm Snapdragon 805
4xKrait 450 @ 2.7 GHz
Samsung LSI Exynos 7420
4xA57 @ 2.1GHz
4xA53 @ 1.5GHz
GPU Adreno 420 @ 600 MHz Mali T760MP8 @ 772MHz
RAM 3GB LPDDR3 4GB LPDDR4
NAND 32/64GB eMMC 32/64/128GB UFS 2.0
Display 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED 5.7-inch 2560x1440 SAMOLED
Dual edge display
Network 2G / 3G / 4G
UE Category 6 LTE
2G / 3G / 4G
UE Category 6/9 LTE
Dimensions 153.5 x 78.6 x 8.3 mm
176 grams
153.2 x 76.1 x 7.6 mm
171 grams
154.4 x 75.8 x 6.9 mm
153 grams
Camera 16MP rear camera,
1.12 µm pixels, 1/2.6" CMOS size,
F/2.2 OIS

5MP F/1.9 FFC
16MP rear camera,
1.12µm pixels, 1/2.6" CMOS size
F/1.9, OIS

5MP F/1.9 FFC
Battery 3220 mAh (12.397 Wh)
Removable
3000 mAh (11.55 Wh)
Non-removable
OS Android 4.4 with TouchWiz (At launch) Android 5.1 with TouchWiz (At launch)
Connectivity 2x2 802.11a/b/g/n/ac + BT 4.1, USB2.0, GPS/GNSS, NFC 2x2 802.11a/b/g/n/ac + BT 4.2, USB2.0, GPS/GNSS, NFC
SIM Size MicroSIM NanoSIM
Share:

Friday 2 October 2015

JIFUNZE KUTENGENEZA ANIMATION(COMPUTER ANIMATION)

Computer animation hii art ihusishayo sanaa  ya utengenezji wa moving image kwa kutumia computer na hii ni moja kati ya matawi ya graphics na animation.




Computer animation  zipo katika mfumo wa 2D animation na 3D animation ambayo 2D animation huu ni mfumo wa zamani ukilinganisha na 3D animation kulingana na madiliko ya teknolojia ingawa 2D animation inachukua muda mchache kuweza kuhusisha image(rendering) na haitaji kifaa chako kuwa na gpu kubwa ukilinganisha na 3D animation.


Animation itumikapo kwenye films huwa tunaziita CGI (computer generated imaging) ili kuunda illusion image huwa inakuwa displayed katika computer screen then quickly replaced  na image nyingine ambayo ipo katika  mundelezo kulingana na image iliyopita.


kwa maelezo zaidi kuhusiana na 2d and 3d animation endelea kufuatilia blog hiii.........
Share:

Thursday 1 October 2015

IFAHAMU TECNO CAMON C8

Ni moja kati ya smartphone bora kutoka tecno mobile ambayo itafanya matumizi yako ya smartphone kuwa ya kifanisi zaidi na yenye uwezo wa camera ambayo itakyo kufanya kuwa mtu wa selfie kila mara zifamu specification zake


Tecno Camon C8

Tecno Camon C8

General Information

2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA  2100
4G Network No
SIM Dual mini SIM
Status Available August 2015

Body

Dimensions
Keyboard Touchscreen
Colors White, Black
Cover Plastic

Display

Type IPS capacitive LCD touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.5 inches, 720 x 1280 pixels, 267 pixels per inch

Memory And OS

Card slot MicroSD, up to 32GB
Internal 16GB
OS Android 5.0 Lollipop
Processors 1.3GHz quad-core Cortex-A53 CPU, MediaTek MT6735 chipset, Mali-T760 GPU
RAM 1GB

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42 mbps downlink; Up to 5.67 mbps uplink
4G No
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi hotspot
Bluetooth Version 4.0
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 13MP, up to 4128 x 3096-pixel-pictures, HDR, autofocus, panorama, Geo-tagging camera with LED flash
Video 1080@30fps
Secondary 5MP, up to 2592 x 1944-pixel pictures

Battery

Capacity 3000mAh Li-Ion battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML
Java No
Miscellaneous - MP3/WAV/eAAC+/WMA player
– FM Radio
– MP4/H.264/H.263/WMV player
– Image viewer and editor
– Document viewer and editor
– Preloaded applications – GTalk , WhatsApp, Facebook, YouTube, Google Talk,  etc.
    
waweza ipata kwa laki tatu na ishirini tu.....

 
Share:

JIFUNZE KETENNGENEZA ANIMATION (INTRODUCTION TO ANIMATION)

JE ANIMATION NI NINI?
 Animation waweza sema ni picha ambazo ziko katika mfumo unaofatataka kisha zikifuatana kwa mpangilio.(moving picture)  na  basic ya animation ni  motion picture ambayo yaweza kuwa katika aina mbalimbali. 

Kuna aina mbalimbali za mifumo ya animation kama:

                 1.tradition animation
                 2.stop animation
                 3.computer animation.

Tradition animation
hii ni moja kati ya mifumo ya animation iliyokuwa ikitumika tangia zamani abayo iikua inahusisha uchoraji wa picha ambazo zipo katika hali mbalimbali kisha kuweza kutengeneza illusion movement  ambayo ilikua inahusisha  step mbalimbali. mfumo huu iliwawezesha kutengeneza filamu za animation 
 kama Pinocchio , Animal Farm, The Illusionist, The Secret of Kells 

mfano wa tradition animation.....

 

stop motion
hii ni mfumo wa animation ambao unahusisha
physical object ambazo zina move kutokana na kuwa photography frame by frame kisha kuunganisha frame hizo kupata short animatio.waweza search youtube stop animation kuona jinsi zinavyo tengenezwa.

computer animation 
hii tunasema ni mfumo wa kisasa wa utengenezaji animation ambao unahusha computer software ku manipulate object      mbalimbali   katika mfumo wa animation


.usikose makala inayofuata kuhusiana na computer animation......... 




    
Share:

LEO KATIKA TEKNOLOJIA SASA WAWEZA TUMIA VIDEO CLIP KAMA PROFILE YAKO KATIKA FACEBOOK

Mtandao wenye mamilioni ya wutumiaji kutoka sehemu mbalimbali imeboresha huduma zake kwa kukuwezesha wewe mtumiaji kuweza kuweka video yenye sekunde 7 kama profile picture napia waweza kuweka picha zenye mfumo wa gif kama profile pictur yako.



Ilikuweza badili profie picha yako kuwa video clip fuatilia blog hii..............
Share:

Wednesday 30 September 2015

JIFUNZE NAMNA YA KUFANYA MANUNUZI EBAY

Ebay ni sehemu ambayo wauzaji na wanunuaji  wanakutana
Muuzaji  anajiunga kwa kufungua Account ebay na kisha anatangaza kitu anachokiuza akiwa popote pale Duniani
Mnunuzi anajiunga kwa kufungua Account ebay popote alipo Duniani kisha anachagua bidhaa anayoitaka iliyotangazwa na Muuzaji(Seller) ana inunua online.




 MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUTUMIA EBAY

1. Tafuta Debit card au Credit card

Debit card ni kadi inayokuwezesha kununua vitu kwenye mtandao kwa kutumia pesa iliyo kwenye akaunti yako ya benki. Na Credit card inakuwezesha kununua kwa kukopa kwenye benki unayotumia halafu wanakukata kidogokidgo kwenye mshahara wako au namna yoyote ambayo mtakubaliana na benki. Kadi hizi ni kama Tembo card visa na Tembo card master card za CRDB Bank;

benki zingine kama NBC, Stanbic Bank na BARCLAYS Bank pia zinatoa Kadi Za namna hiyo. Baada ya kupata kadi yako unatakiwa uende kwenye benki yako wakairuhusu kuweza kufanya manunuzi kwenye mtandao.

2. Jiunge na tovuti ya Paypal.

Paypal ni tovuti inayoongoza duniani kwa kusimia malipo ya kwenye mtandao. Kazi yake kubwa ni kutunza taarifa zako muhimu za benki ili wamachinga wa kwenye mtandao wasizizoee hovyo. Hivyo basi ukitumia paypal, unasajili na kuweka namba yako ya visa au master card.

Baada ya hapo unaweza kuweka pesa kwenye account ya paypal au ukaziacha kwenye akaunti yako ya benki. Unapofanya manunuzi Yule muuzaji anapewa pesa na Paypal sio wewe moja kwa moja ili kulinda taarifa zako za benki.

3. Nunua kwenye tovuti iliyo na mfumo wa kutuma taarifa zako kwa usalama.


Kwa ajili ya usalama kuna teknologia inaitwa SSL(Secure Socket Layer). SSL inafanya kazi ya kusafirisha taarifa zako katika hali ya mkanganyiko ili mtu yoyote mhalifu asiweze kuzielewa, zikifika zianaundwa tena ili muuzaji aweze kuzielewa.

Teknologia hii inatumika pia kutuma email, blackberry wakiwa ni vinara wa kutunia teknologia hii. Ili kujua kama tovuti inatumia hii teknologia utaona alama ya kufuli kwenye anuani ya tovuti husika ikishafunguka. Angalia kwenye sehemu ya kuandikia anuani, kushoto au kulia.

4. Nunua kwa muuzaji anayekubaliwa na weteja wengi.

Utajuaje kama muuzaji anakubalika sokoni na anauzoefu wa kuuza vitu kwenye mtandao? Rahisi! Kwa mfanounataka kununua saa Ebay au kitabu cha electrniki (PDF) kwenye Amazon, chini ya hiyo bidhaa iliyoichagua utaona maoni ya watu walionunua kabla yako.

Ni vizuri ukatumia muda wa kutosha kusoma maoni ya waru wengi kabla hujaendelea za zoezi la manunuzi. Njia nyingine ya kupata maoni ya watu ni kutumia tovuti kama Yelp, Google+, Yahoo directory au Yellow pages iwapo muuazaji atakuwa amejiunga nazo.

5. Chagua namna ya kutumiwa mzigo wako.

Unatakiwa kuchagua namna kutumiwa mzigo wako ambayo itakuwa rahisi kwako kuupata. Gharama za kutuma mzigo zitaoneshwa pale kwenye mtandao na muda wa kufika kwa kila gharama. Kwa Tanzania unaweza kutumia DHL, UPS au shirika lolote unaloliamini.

6. Hakikisha muuzaji anahudumia eneo ulilopo.

Baadi ya wauzaji huchagua nchi au miji wanayoweza kutuma mizigo na wengine huuza dunia nzima. Taarifa hizi huwekwa chini ya bidhaa unayotaka kununua , hii itakusaidia kuokoa muda kuondoa usumbufu usio wa lazima.
 


   

Pia waweza tumia njia hizo kwa mitandao mengine tofauti na ebay ila zingatia:
Unaponunua kitu kwenye mtandao kwanza kabisa hakikisha hiyo tovuti inafahamika, kama haifahamiki hakikisha kuwa imethibishwa na na mashirika yakuhalalisha biashara za kwenye mtandao kama BBB (Better Business Bureau), utaona nembo ya haya mashirika chini kwenye tovuti ya muuzaji.


 kwa mungozo zaiidi na maswali bonyeza hapa

Share:

ZIFAHAMU SEHEMU ZITAKAZO KUSAIDIA KUFANYA MANUNUZI MTANDAONI(ONLINESHOPING)

Kulingana na ukuwaji wa sayansi na teknolojia imerahisisha mambo mengi katika jamii zetu na kuweza kutuletea ufanisi wa hali ya juu katika shughuli zetu za kila siku. Sasa unaweza kununua, kuuza bidhaa mbalimbali kwa kutumia mtando  kulingana na mahali ulipo.

Waweza  fanya manunuzi haya kupitia mitandao mbalimbali ambayo inatoa huduma hii ya uuzaji na ununuaji wa bidhaa na huduma mbalimbali  waweza sema ni soko huru la kimtandao. Inategemea wewe sasa unahitaji kutumia soko gani ili kuweza kupata huduma hii nitakupa muongozo wakuweza kufanya manunuzi katika soko la kimtandao la hapa nchini na kimataifa.


SOKO LAKIMTANDAO KWA NCHINI TANZANIA :Waweza tumia mitandao ifuatayo kuwapata 
          1.KAYMU .bonyeza hapa 
          2.JUMIA  bonyeza hapa

KWA SOKO LA KIMATA : Waweza tumia mitandao ifuatayo,kuwapa
            1.EBAY  bonyeza hapa
            2.ALIEXPRESS  bonyeza hapa

Hizi ni baadhi ya site tu ambazo zenye usalama katika kutoa huduma bora kwa wateja

kwa muuongozo jinsi gani ya kuitumia miatandao hii kufanya manunuzi fuatilia blog hii....
 
Share:

Tuesday 29 September 2015

LEO KATIKA TEKNOLOJIA SMARTPHONE KUUZWA KAMA NYANYA NIGERIA

Barani afrika nchi ya Nigeria iinaongoza kwa kuwa na wauzaji wengi wa smartphone katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo hii ni kutokana na ongezeko wa bidhaa hizi nchini china ambako kumpelekea kupata soko kubwa la bidhaa zo barani afrika. 


Share:

ZIFAHAMU SOFTWARE AMBAZO ZITAKUWEZESHA KU ROOT SMARTPHONE YAKO

ili kuweza kuroot inakubidi kupata kupata rooting software ambayo unaweza kuitumia kwa zoezi hili. Unaweza root kwa smartphone yako kwa kutumia hiyo software au ukaroot kwa pc waweza pakua rooting software kwa apk ili uweze root kwa simu yako
 

Hizi ndo software unazoweza kuzitumia ..............
.kingroot  bonyeza hapa
.Root Genius  bonyeza hapa
.Root Cheker  bonyeza hapa
.Supersu  bonyeza hapa
.Framaroot bonyeza hapa

kuna rooting software nyingi ila hizo ni baadhi ambazo zitakusaidia 
kwa matokeo bora zaiidi kumbuka  si kila root software itakuwa na uwezo wa  kuroot kifaa chako
Share:

FAIDA UZIPATAZO UTAKAPO ROOT SMARTPHONE YAKO

Rooting ni kitendo cha kuiwezesha smartphone yako kuwa na mamlaka ya kubadili mifumo iliyowekwa na mzalishaji mfumo wa smartphone yako au tablet yako.
 

Faida utakazopata baada ya kuroot smartphone yako
.Itakuwezesha kuwa na mamlaka kamili ya kifaaa chako kwa kuweza kubadili mifumo mbali mbali.
.utaweza kuzuia matangazo yanayokuja kutokana na kuwepo kwa apps za bure
.itakuwezesha kuondoa pre_installed apps ambazo ulizikuta uliponunua  smartphone yako
. itakupa ruhusa ya kuweza ku install baadhi ya apps zinazo hitaji simu yako kuwa rooted
. utapata uwezo wa ku install custom rom kwa kifaa chako
. pia ita itaiongezea usanifu zaiidi smartphone yako katika ufanyaji kazi na kuweza kouongeza utunzaji wa charge kw muda mrefu

 endelea kufatilia zaidi blog hii kwa mafunzo ya smartphone rooting 
Share:

Monday 28 September 2015

LEO KATIKA TEKNOLOJIA_MTANDAO WA WIKIPEDIA WAZUIRIWA NCHINI URUSI

Wasambazaji wa internet nchini urusi walazimika kuzuia tovuti ya wikipedia nchini humo kutokana  na tovuti hiyo  kumchafua Roskomnadzor bonyez hapa
dzor kwa taarifa zaiidi

Share:

MUONGOZO WA KUNUNU SMARTPHONE YENYE PROCESSOR BORA

Processor au cpu hii brain ya kifaa chako ambayo inaiwezesha kifaa chako kuweza kufanya kazi kulingana na maelezo ya software husika. Kila simu ina processor ambayo inaiwezesha kufanya kazi kwa ufanisi na haraka zaidi kulingana na uwezo wa processor husika.Ili kutambua kiasi cha ufanyaji kazi kwa haraka  processor hupimwa kwa Mhz  au Ghz ambavyo 1ghz =1000mhz .procesor ikiwa kubwa ndo ufanisi wake katika simu unakuwa mzuri zaidi.


Core hii hupatikana katika main processor ambayo kazi yake kubwa ni kusoma na kutafsiri taarifa mbalimbali kuna aina mbalimbali za core  kuna single_core dual_core pia kuna quad core ,hexa core,
octa core . octa core zina uwezo mkubwa  waufanyaji kazi kuliko zingine.

Vifaa vingi kama smartphone ,tablets , and smart watches vimetengenezwa kwa ARM processor ambo wame ziweka kimakundi processor zao katika mpangilio
        -cortex A5 ,A7 ,A9,A15 , A17, A53, A57 na  A72
ambapo A72 inauwezo kuliko A series zingine. mfano proseccor ya  1.7ghz quad core A17  inazidiwa uwezo na 1ghz dual core A53.

Je utawezaje kufahamu aina ya processor iliyopo kwenye smartphone yako ?
Waweza kuangalia specification ya simu yako online mfano samsung galaxy s6 kwa kutafuta specification zake au uka pakua app itwayo  CPU Z pia njia hizi mbili zitakusaidia kujua kama simu yako ni fake au original kwa kulinganisha specification ulizo ona kwenye app na za kwenye web

Share:

Muongozo utakao kusaidia kununua smartphone bora

Matumizi ya smartphone yamukua kwa kiasi kikubwa hapa nchini  kutokana na uwepo wa smartphone kutoka makampuni  mbalimbali . Ambavyo imepelekea kuwa na ushindani mkubwa  katika  uuzaji. wa smartphone kwa watu wengi


Je utawezaje kununua smartphone bora?
.kitu cha kwanza  ni kujua matumizi yako makubwa utakayo kuwa ukitumia katika smartphone yako hii  itakurahisishia  kuweza kununua smartphone ambayo ina kidhi mahitaji yako.
 .je unahitaji smartphone yenye uwezo mkubwa wa camera ,    
  .je unahitaji smartphone yenye uwezo wa kukaa na charge kwa muda mrefu, 
  .je unahitaji smartphone yenye processor kubwa yenye uwezo mkubwa
 .je unahitaji smartphone yenye screen kubwa au yenye muonekano wa kuvutia
 
kwa kujiuliza hayo itakusidia kupata chaguo sahihi.Basi kaa karibu  na blog hii kwa elimu zaiidI.
Share:

nature beauty

Powered by Blogger.

recent posts

Total Pageviews

Search This Blog

technology

Number of Posts

featured video

Random Post Number

Slider Display

Random

The Slider

social counter

twocolumns

about us

About

Formulir Kontak

Name

Email *

Message *

Social Icons

Featured Posts

FOLLOW @ INSTAGRAM

Must read