Wednesday, 30 September 2015

ZIFAHAMU SEHEMU ZITAKAZO KUSAIDIA KUFANYA MANUNUZI MTANDAONI(ONLINESHOPING)

Kulingana na ukuwaji wa sayansi na teknolojia imerahisisha mambo mengi katika jamii zetu na kuweza kutuletea ufanisi wa hali ya juu katika shughuli zetu za kila siku. Sasa unaweza kununua, kuuza bidhaa mbalimbali kwa kutumia mtando  kulingana na mahali ulipo.

Waweza  fanya manunuzi haya kupitia mitandao mbalimbali ambayo inatoa huduma hii ya uuzaji na ununuaji wa bidhaa na huduma mbalimbali  waweza sema ni soko huru la kimtandao. Inategemea wewe sasa unahitaji kutumia soko gani ili kuweza kupata huduma hii nitakupa muongozo wakuweza kufanya manunuzi katika soko la kimtandao la hapa nchini na kimataifa.


SOKO LAKIMTANDAO KWA NCHINI TANZANIA :Waweza tumia mitandao ifuatayo kuwapata 
          1.KAYMU .bonyeza hapa 
          2.JUMIA  bonyeza hapa

KWA SOKO LA KIMATA : Waweza tumia mitandao ifuatayo,kuwapa
            1.EBAY  bonyeza hapa
            2.ALIEXPRESS  bonyeza hapa

Hizi ni baadhi ya site tu ambazo zenye usalama katika kutoa huduma bora kwa wateja

kwa muuongozo jinsi gani ya kuitumia miatandao hii kufanya manunuzi fuatilia blog hii....
 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

nature beauty

Powered by Blogger.

recent posts

Total Pageviews

32633

Search This Blog

technology

Number of Posts

featured video

Random Post Number

Slider Display

Random

The Slider

social counter

twocolumns

about us

About

Formulir Kontak

Name

Email *

Message *

Social Icons

Featured Posts

FOLLOW @ INSTAGRAM

Must read