Tuesday, 29 September 2015

ZIFAHAMU SOFTWARE AMBAZO ZITAKUWEZESHA KU ROOT SMARTPHONE YAKO

ili kuweza kuroot inakubidi kupata kupata rooting software ambayo unaweza kuitumia kwa zoezi hili. Unaweza root kwa smartphone yako kwa kutumia hiyo software au ukaroot kwa pc waweza pakua rooting software kwa apk ili uweze root kwa simu yako
 

Hizi ndo software unazoweza kuzitumia ..............
.kingroot  bonyeza hapa
.Root Genius  bonyeza hapa
.Root Cheker  bonyeza hapa
.Supersu  bonyeza hapa
.Framaroot bonyeza hapa

kuna rooting software nyingi ila hizo ni baadhi ambazo zitakusaidia 
kwa matokeo bora zaiidi kumbuka  si kila root software itakuwa na uwezo wa  kuroot kifaa chako
Share:

0 comments:

Post a Comment

nature beauty