Tuesday, 29 September 2015

FAIDA UZIPATAZO UTAKAPO ROOT SMARTPHONE YAKO

Rooting ni kitendo cha kuiwezesha smartphone yako kuwa na mamlaka ya kubadili mifumo iliyowekwa na mzalishaji mfumo wa smartphone yako au tablet yako.
 

Faida utakazopata baada ya kuroot smartphone yako
.Itakuwezesha kuwa na mamlaka kamili ya kifaaa chako kwa kuweza kubadili mifumo mbali mbali.
.utaweza kuzuia matangazo yanayokuja kutokana na kuwepo kwa apps za bure
.itakuwezesha kuondoa pre_installed apps ambazo ulizikuta uliponunua  smartphone yako
. itakupa ruhusa ya kuweza ku install baadhi ya apps zinazo hitaji simu yako kuwa rooted
. utapata uwezo wa ku install custom rom kwa kifaa chako
. pia ita itaiongezea usanifu zaiidi smartphone yako katika ufanyaji kazi na kuweza kouongeza utunzaji wa charge kw muda mrefu

 endelea kufatilia zaidi blog hii kwa mafunzo ya smartphone rooting 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

nature beauty

Powered by Blogger.

recent posts

Total Pageviews

32432

Search This Blog

technology

Number of Posts

featured video

Random Post Number

Slider Display

Random

The Slider

social counter

twocolumns

about us

About

Formulir Kontak

Name

Email *

Message *

Social Icons

Featured Posts

FOLLOW @ INSTAGRAM

Must read