Monday, 28 September 2015

MUONGOZO WA KUNUNU SMARTPHONE YENYE PROCESSOR BORA

Processor au cpu hii brain ya kifaa chako ambayo inaiwezesha kifaa chako kuweza kufanya kazi kulingana na maelezo ya software husika. Kila simu ina processor ambayo inaiwezesha kufanya kazi kwa ufanisi na haraka zaidi kulingana na uwezo wa processor husika.Ili kutambua kiasi cha ufanyaji kazi kwa haraka  processor hupimwa kwa Mhz  au Ghz ambavyo 1ghz =1000mhz .procesor ikiwa kubwa ndo ufanisi wake katika simu unakuwa mzuri zaidi.


Core hii hupatikana katika main processor ambayo kazi yake kubwa ni kusoma na kutafsiri taarifa mbalimbali kuna aina mbalimbali za core  kuna single_core dual_core pia kuna quad core ,hexa core,
octa core . octa core zina uwezo mkubwa  waufanyaji kazi kuliko zingine.

Vifaa vingi kama smartphone ,tablets , and smart watches vimetengenezwa kwa ARM processor ambo wame ziweka kimakundi processor zao katika mpangilio
        -cortex A5 ,A7 ,A9,A15 , A17, A53, A57 na  A72
ambapo A72 inauwezo kuliko A series zingine. mfano proseccor ya  1.7ghz quad core A17  inazidiwa uwezo na 1ghz dual core A53.

Je utawezaje kufahamu aina ya processor iliyopo kwenye smartphone yako ?
Waweza kuangalia specification ya simu yako online mfano samsung galaxy s6 kwa kutafuta specification zake au uka pakua app itwayo  CPU Z pia njia hizi mbili zitakusaidia kujua kama simu yako ni fake au original kwa kulinganisha specification ulizo ona kwenye app na za kwenye web

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

nature beauty

Powered by Blogger.

recent posts

Total Pageviews

32464

Search This Blog

technology

Number of Posts

featured video

Random Post Number

Slider Display

Random

The Slider

social counter

twocolumns

about us

About

Formulir Kontak

Name

Email *

Message *

Social Icons

Featured Posts

FOLLOW @ INSTAGRAM

Must read